emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
ega-svg-tree
TEST
TEST
<p>Ndio nilazima taarifa za mtumishi zibadilishwe kwa kufanya yafuatayo;</p><ol><li>Ingia kwenye mfumo wa TSMS </li><li>Nenda sehemu ya profile iliyopo kwenye kona ya juu kulia kwenye mfumo sehemu ambapo mara nyingi watumiaji hupenda kubonyeza ili kutoka nje ya mfumo (Logout). </li><li>Baada ya kubonyeza kitufe cha profile nenda kwenye edit na badilisha taarifa zako ikiwemo baruapepe kwakuweka mpya ya taasisi uliyohamia.</li><li>Kisha bonyeza kitufe cha save ili mfumo uweze kutunza taarifa mpya zilizowekwa.</li></ol>
<ol><li>Ni lazima usajiliwe kwanza kabla ya kuanza kuingia</li><li> Upande wa kushoto chini ya Menyu ya TEHAMA, chagua “Security Incident”</li><li> Jaza maeneo yote yanayotakiwa kwa mujibu wa fomu</li><li> Bofya kitufe cha “Submit” baada ya kukamilisha</li><li> Baada ya kufanikiwa kuwasilisha tukio la usalama, utapokea uthibitisho kuwa umefanikiwa kuwasilisha tukio la usalama </li></ol>
<ol><li>Kama huna akaunti ya huduma kwa mteja, tuma baruapepe kwa egov.helpdesk@ega.go.tz au piga simu +255764292299, +255763292299 kuomba akaunti. Akaunti itafunguliwa kwa watumiaji wa taasisi za umma walioidhinishwa tu. Baruapepe ya kuhakiki itatumwa na kukutaka kutayarisha na kuthibitisha nywila yako</li><li>Kama una akaunti ya huduma kwa mteja, tuma baruapepe au piga simu +255764292299, +255763292299 kueleza tatizo unalokabiliana nalo</li></ol>
<ol><li> Ni lazima ulingie/logia kwenye GISP kwa kubofya kitufe cha “login” upande a juu wa ukurasa</li><li> Ingiza utambulisho wako (jina la mtumiaji na nywila)</li><li> Upande wa kushoto kwenye Menyu ya Huduma, chagua “Requested Services”</li><li> Huduma zilizoombwa zitaonekana, halafu tafuta au chagua huduma iliyoombwa kuangalia hatua iliyofikia</li></ol>
<p>Huduma na Mifumo ya Mamlaka imepanwa katika makundi yafuatayo;</p><ol><li>Huduma za Ushauri wa Kitaalamu na Msaada wa Kiufundi</li><li> Mifumo Shirikishi ya TEHAMA</li><li> Huduma ya Kuhifadhi Mifumo (Miundombinu kama Huduma , Mfumo kama Huduma)</li><li> Utengenezaji Mfumo</li><li> Mtandao wa Mawasiliano Serikalini (GOVNET)</li><li> Huduma za Serikali kupitia Simu za Mkononi</li><li> Utafiti na Mafunzo</li><li> Bango la Matangazo</li></ol>
<p>Ili uweze kujua hatua ya mradi wa TEHAMA uliowasilishwa mtumiaji anatakiwa kufanya yafuatayo;</p><ol><li>Mtumiaji anatakiwa kuingia kwenye mfumo wa GISP</li><li>Baada ya kuingia kwenye mfumo chagua sehemu ya <i>Register ICT Project </i>na kufanya uchaguzi wa sehemu ya <i>All Projects</i> ili kuona hatua iliyofikiwa ya mapito ya mradi mpya wa TEHAMA</li></ol>
<ol><li>Ili uweze kuhuisha wasifu wa taasisi kwenye mfumo wa GISP mtumiaji afanye yafuatayo;</li><li>Mtumiaji wa mfumo ataingia kwenye mfumo wa GISP na kuchagua sehemu ya <i>Institution Panel</i>.</li><li>Baada ya kuchagua <i>Institution Panel</i>, mtumiaji atakutana na wasifu wa Taasisi na mtumiaji atachagua kitufe kilichoandikwa <i>Edit Profile</i>, ili kuhuisha taarifa za wasifu wa taasisi.</li><li>Mtumiaji atahuisha taarifa na kuchagua kitufe kilichoandikwa </li><li>Aidha, kuna sehemu yenye nyaraka za usimamizi wa TEHAMA ambapo ataona chaguzi za kuhuisha nyaraka hizo</li><li>Endapo Taasisi itahitaji kuhuisha taarifa kama jina la Taasisi, Taasisi inaweza kuwasiliana na dawati la huduma la Mamlaka ya Serikali Mtandao kupitia barua pepe: <a href="mailto:info@ega.go.tz%20">info@ega.go.tz </a> au simu: 0764292299 au 0763292299 kwa msaada zaidi.</li></ol>
<p style="text-align: justify;">Ili taasisi iweze kusajili mradi mpya wa TEHAMA inadidi ifanye yafuatayo:-</p><ol><li>Mtumiaji wa mfumo ataingia kwenye mfumo wa GISP na kuchagua sehemu ya <i>Register ICT Project</i>, </li><li>Mtumiaji ataona sehemu ya <i>Register ICT Project</i> ambayo itaonesha fomu ya kujaza taarifa mpya za mradi.</li><li>Baada ya kujaza taarifa zote muhimu mtumiaji atawasilisha taarifa za mradi mpya kwenda kupitiwa na kuidhinishwa na Afisa Masuuli wa Taasisi husika.</li><li>Afisa Masuuli ataingia kwenye mfumo sehemu ya taarifa za mradi na ataona kitufe cha <i>Submit project for Review</i> ambacho kinampa uwezo wa kuwasilisha taarifa kwenda kwa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA).</li><li>Afisa Masuuli ataweza kuchagua iwapo anawasilisha taarifa ya mradi mpya kwenda e-GA kwa ajili ya mapitio au kurudisha mradi kwa ajili ya maboresho ndani ya Taasisi husika kabla ya kuwasilisha kwenda e-GA.</li><li> Afisa Masuuli atachagua <i>Approve</i> na kuweka maelezo kisha atabonyeza kwenye kitufe cha <i>Submit </i>na kuweza kuwasilisha taarifa za mradi kwenda e-GA kwa ajili ya mapitio.</li></ol>
Mpangilio