DIRA 2050
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

  Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imeshiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika kimkoa katika Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro Leo tarehe 01 Mei 2026.   Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adamu Malima, Katika hotuba yake amewataka watumishi wa umma na sekta binafsi kuendelea kudumisha mahusiano mazuri, mshikamano na ushirik...

Soma Zaidi

  Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa kushirikiana, IUCN Tanzania na Manispaa ya Morogoro wameendelea kutekeleza zoezi la ugawaji wa miti ya matunda kwa wakazi wa Kata ya Mzinga Manispaa ya Morogoro.   Zoezi hilo pia limehusisha Taasisi za Elimu ikiwemo Shule ya Sekondari Konga na Shule ya Msingi Konga ambapo wanafunzi na walimu wamepatiwa miche hiyo kwa lengo la kuhamasisha utunzaji wa mazingira tangu ngazi ya shule....

Soma Zaidi

  Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa kushirikiana na MORUWASA pamoja na World Waternet Leo Aprili 24, 2026 Wamekamilisha vikao vya Majumuisho vilivyodumu kwa siku tano vikilenga kujadili utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa kwa ushirikiano huo.   Katika vikao hivyo wadau wamepitia kwa kina taarifa za utekelezaji wa Miradi kwa awamu ya pili huku wakitathmini mafanikio, changamoto na masomo yaliyopatikana....

Soma Zaidi

Wizara ya Maji imefanya kikao cha pamoja na wawakilishi kutoka World Waternet, WRBWB pamoja na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA). Kikao hicho kimejikita katika kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi hizo, hususan katika masuala ya uhifadhi wa mazingira kwenye vyanzo vya maji, ikiwemo Bwawa la Mindu ambalo ni chanzo kikuu cha maji kwa wakazi wa Mkoa wa Morogoro. Aidha, kikao kimeweka msisitizo katika kupan...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor