DHIMA
Kuratibu kwa ufanisi mipango pamoja wa utunzaji na uendelezaji wa vyanzo vya maji ili kufikia maendeleo endelevu, jumuishi na stahimilivu ya Bonde.
DIRA
Kuwa Bonde lenye mazingira safi na kijani linalotunza na kuendeleza vyanzo vya maji kwa maendeleo ya binadamu, kijamii na kiuchumi yanayostahimili majanga yanayotokana na maji.