emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Mifumo na Huduma
ega-svg-tree
Ugawaji wa Vibali vya Maji

Huduma hii inamwezesha Mwombaji kupata kibali cha kutumia maji kihalali kwa ajili ya matumizi yafuatayo;

1. KIBALI CHA MATUMIZI YA MAJI

  • Matumizi ya nyumbani (binafsi au kikundi)
  • matumizi ya shughuli za kibiashara (hotel, lodge, n.k)
  • usambazaji wa maji kwenye Jamii (Mamlaka za Maji)
  • kukinga na kuhifadhi maji kwenye Bwawa
  • Umwagiliaji mdogo mdogo & mkubwa
  • Kilimo-Biashara
  • Kunyweshea Mifugo
  • ufugaji wa Samaki
  • matumizi ya Kiwandani
  • kufanya usafirishaji wa Vyombo vya majini kwenye maji baridi (Mito na Maziwa)
  • Ujenzi (barabara, majengo, reli n.k)
  • shughuli za uchimbaji Madini
  • uzalishaji wa maji ya kunywa ya chupa
  • uzalishaji wa Nishati/Umeme

 

2. KIBALI CHA KUCHIMBA KISIMA

  • Huduma hii inamwezesha Mteja kupata kibali cha kuchimba kisima kirefu

 

3.  KIBALI CHA KUTIRIRISHA MAJITAKA

  •  yatokanayo na matumizi ya majumbani
  • yatokanayo na shughuli za Viwandani
  • yatokanayo na shughuli za Kilimo/Umwagiliaji

 

4. KIBALI CHA KUPITISHA MIUNDOMBINU YA MAJI

  • Huduma hii inamwezesha Mtumia maji kupata msaada wa Kiofisi ili kupitisha miundombinu ya maji kwenye maeneo ya Watu wengine

 

 

Ugawaji wa Vibali vya Maji
Mpangilio