Wajumbe wa Bodi ya Maji ya Saba ya Bonde la Wami/Ruvu leo Tarehe 22 Mei, 2026 wamekutana katika kikao cha pili kwa lengo la kujadili taarifa za utekel...

Kikao hicho kilijikita katika kupitia mafanikio yaliyopatikana, changamoto zilizojitokeza pamoja na kuweka mikakati madhubuti ya kuongeza ufanisi katika usimamizi na maendeleo ya Rasilimali za Maji ndani ya Bonde la Wami/Ruvu. Katika majadiliano hayo wajumbe wamepokea na kuchambua Taarifa mbalimbali za utekelezaji wa shughuli zilizopangwa kwa kipindi cha Robo ya Pili zikiwemo shughuli za uhifadhi wa vyanzo vya maj...








