WRBWB YASHIRIKI MKUTANO WA 9 WA BODI ZA MAJI ZA MABONDE

Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imeshiriki katika Mkutano 9 wa Mwaka wa Bodi za Maji za Mabonde Nchini (9th Annual General Meeting), uliofanyika tarehe 27 Januari 2026 mkoani Dodoma chini ya uratibu wa Wizara ya Maji, na kukutanisha viongozi wa Sekta ya Maji kwa lengo la kupitia taarifa za utekelezaji wa mipango ya usimamizi wa rasilimali za maji katika Mabonde mbalimbali, kujadili changamoto na mafanikio yaliyopatikana katika ute...







