Gridi ya Maji ya Taifa Kupunguza Uhaba wa Maji Nchini.

Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Maji Bw. Hussein Ally, amesema mpango uliopo wa Wizara ya Maji kuanzisha Gridi ya Maji ya Taifa unalenga kufikisha maji kwenye maeneo yenye uhaba wa maji, kwa kutumia maji kutoka maeneo yenye wingi. Mwenyekiti ameyasema hayo kwenye kipindi cha Mizani cha TBC1, akisisitiza umuhimu wa uhifadhi, utunzaji na uendelezaji wa rasilimali za maji ili kuimarisha usalama wa maji kwa vizazi vijavyo, akitolea mfano mpango e...







