MWENGE WA UHURU 2026 UMERIDHISHWA NA MRADI WA UHIFADHI WA MAJI UNAOSIMAMIWA NA WAMI/RUVU.

Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 umezindua Mradi wa uhifadhi wa chanzo cha Ruvu kupitia Ujenzi wa Miundombinu ya Usambazaji Maji katika Vijiji vya Mngazi na Dakawa, uliotekelezwa na kusimamiwa na Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa lengo la kutimiza azma ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuwapatia wananchi huduma bora ya maji safi na salama vijijini. Mradi huu umehusisha uchimbaji wa visima viwili vyenye uwezo wa kuzalisha maji kati ya lita 24...







