Maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 26 ya kifo cha Baba wa Taifa

Maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 26 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius K. Nyerere.

Maadhimisho ya kumbukizi ya miaka 26 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl. Julius K. Nyerere.

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametembelea banda la Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwenye maonesho ya Wiki ya Mazingira Duniani ambayo kilele chake ni tarehe Juni 05,2021, ambapo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Phillip Mpango ndio alifunga maonesho hayo katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Dodoma. Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imeshiriki Wiki ya Mazingira Duniani, kwa kutoa elimu ya utunzaji wa Rasilimali...