emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Wizara ya Maji imefanya kikao cha pamoja na wawakilishi kutoka World Waternet, WRBWB pamoja na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA). Kikao hicho kimejikita katika kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi hizo, hususan katika masuala ya uhifadhi wa mazingira kwenye vyanzo vya maji, ikiwemo Bwawa la Mindu ambalo ni chanzo kikuu cha maji kwa wakazi wa Mkoa wa Morogoro. Aidha, kikao kimeweka msisitizo katika kupan...

Soma Zaidi

  Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu inaendelea na zoezi la uchimbaji wa visima vya maji kwenye maeneo yote yenye changamoto ya upatikanaji wa huduma ya majisafi na salama hususani katika Jiji la Dar es salaam na Pwani ambapo kwa siku ya Leo limefanyika zoezi la ukaguzi wa kazi inayoendelea katika Mtaa wa Viziwaziwa, Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani. Uchimbaji huu unafanyika na mitambo inayomilikiwa na Bodi ambapo mpaka sasa maeneo...

Soma Zaidi

Bodi ya maji, Bonde la Wami/Ruvu katika jitihada za kuendelea kusimamia rasilimali za maji kwa ufanisi, zoezi la ufuatiliaji wa mwenendo wa maji chini ya ardhi limefanyika katika visima vikubwa vilivyopo eneo la Chanika- Kimbiji Kupitia uchukuaji wa takwimu katika visima vya EB2 na EB3, imebainika kuwa kina cha maji kimeongezeka kwa mita 0.6.   Ongezeko hili, kwa mtazamo wa kitaalamu wa Hydrogeologia linaashiria uwepo wa uwia...

Soma Zaidi

WRBWB imefanya kikao chake cha Kwanza cha Bajeti ya Bodi ya Saba leo tarehe 10 Aprili, 2026 kwa lengo la kupitia na kujadili Rasimu ya Bajeti ya Taasisi kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027. Aidha Kikao hicho Muhimu kimewakutanisha Wajumbe wa Bodi pamoja na Menejimentiya WRBWB, ambapo wamepata fursa ya kuchambua kwa kina vipaumbele vya bajeti vinavyolenga kuboresha Usimamizi wa Rasilimali za Maji katika WRBWB.   Miongoni mwa mae...

Soma Zaidi
Mpangilio