emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Maji Bw. Hussein Ally, amesema mpango uliopo wa Wizara ya Maji kuanzisha Gridi ya Maji ya Taifa unalenga kufikisha maji kwenye maeneo yenye uhaba wa maji, kwa kutumia maji kutoka maeneo yenye wingi. Mwenyekiti ameyasema hayo kwenye kipindi cha Mizani cha TBC1, akisisitiza umuhimu wa uhifadhi, utunzaji na uendelezaji wa rasilimali za maji ili kuimarisha usalama wa maji kwa vizazi vijavyo, akitolea mfano mpango e...

Soma Zaidi

Kuelekea maadhimisho ya Wiki ya Maji, WRBWB  imeshirikiana na kikundi cha Jumuiya ya Watumia Maji Ngerengere Juu-A pamoja na Wananchi kupanda miti 300 aina ya Mikaranga katika chanzo cha Mto Mlali Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro.   Zoezi hilo ni sehemu ya juhudi za kuhifadhi na kulinda vyanzo vya maji ili kuhakikisha upatikanaji endelevu wa rasilimali maji kwa vizazi vya sasa na vijavyo. Sambamba na upandaji hu...

Soma Zaidi

  Taarifa ya utabiri wa mafuriko unaonesha Kuna uwezekano wa wastani wa kutokea kwa mafuriko katika kipindi cha kuanzia tarehe 26 Februari hadi 3 Machi, 2026 katika baadhi ya maeneo yaliyopo ndani ya Bonde la Wami/Ruvu, hususani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa na Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero.   Kwa mujibu wa utabiri umebainisha baadhi ya maeneo yanayotarajiwa kukumbwa na mafuriko ambayo ni Kijiji cha Kibaon...

Soma Zaidi

  Kuelekea katika Maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayotarajiwa kufanyika mwezi Machi, WRBWB imeitisha jukwaa la wadau wa Kidakio cha Ngerengere kwa lengo la kuimarisha usimamizi, uhifadhi na matumizi endelevu ya rasilimali za maji. Jukwaa hilo limekuwa sehemu ya maandalizi ya kitaasisi ya kuadhimisha Wiki ya Maji, yenye kaulimbiu ya “Maji na Jinsia”, inayosisitiza umuhimu wa usawa wa kijinsia katika usim...

Soma Zaidi

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu ametembelea na kukagua mradi wa uchimbaji wa visima unaendelea katika Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam.  Mhe. Zungu amefanya ziara hiyo katika mtaa wa Mchikichini, kata ya Ilala na kujionea ukamilikaji wa zoezi hilo ambapo ameridhishwa na uchimbaji wa visima hivyo huku akiagiza kukamilika haraka wananchi wa maeneo hayo waweze kup...

Soma Zaidi
Mpangilio