WRBWB imeandaa utabiri wa wingi wa maji katika Mto Ruvu kwa kipindi cha kuanzia tarehe 12 hadi 22 Februari, 2026.

WRBWB imeandaa na kuwasilisha utabiri wa wingi wa maji katika Mto Ruvu kwa kuzingatia vituo vilivopo katika Kidakio kwa kipindi cha kuanzia tarehe 12 hadi 22 Februari, 2026 ambapo utabiri huu umezingatia utabiri wa hali ya mvua na joto zilizotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Utabiri unaonyesha wingi wa maji utaongezeka na kuwa juu ya wastani wa muda mrefu (2009-2024) kuanzia tarehe 21 Feb,2026 kutokana na uwezekano wa k...







