emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

  Watumishi wa Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kutoka katika vidakio vya Wami, Ruvu, Ngerengere pamoja na Kinyasungwe Mkoa wa Dodoma leo Mei 18, 2026 wamekutana katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Makao Makuu ya ofisi za Bodi ya Wami/Ruvu hiyo Mkoani Morogoro.   Kikao hicho kimelenga kujadili utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya taasisi kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2025/2026 pamoja na mipango ya utekeleza...

Soma Zaidi

  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni amesema Usimamizi na Uhifadhi wa Mazingira hauwezi kufanikiwa kwa kauli au sera peke yake, bali kwa vitendo vinavyoonekana katika ngazi zote ikiwemo shughuli za kupanda miti na kuitunza.   Amesema Dira ya Taifa ya mwaka 2050 ina nguzo kuu tatu na miongoni mwa nguzo hizo ni suala zima la uhifadhi wa mazingira na ustahimilivu wa Mabadiliko ya Tabianch...

Soma Zaidi

  Bodi  imeshiriki ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba iliyofanyika katika Wilaya ya Mvomero, Gairo na Kibaigwa.   Ziara hiyo ilikuwa na Lengo la Kusikiliza changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi pamoja na kutoa maelekezo kwa Viongozi na Taasisi husika kuhakikisha Kero hizo zinapatiwa ufumbuzi wa haraka.   Aidha Dkt. Mwigulu amekagu hali y...

Soma Zaidi

  Taarifa za utabiri wa Mafuriko zinaonesha uwezekano wa kuongezeka kwa wingi wa maji katika baadhi ya mito kwa kiwango cha wastani hadi juu ya wastani hali ambayo inaweza kusababisha Mafuriko katika kipindi cha kuanzia tarehe 06 Mei hadi 13 Mei 2026.   Kwa mujibu wa utabiri maeneo yanayotarajiwa kukumbwa na mafuriko ni: Kijiji cha, Zombo–Tindiga, Daraja la Mkundi, Dumila, Mkata, Miyombo, Masanze–Mkondoa,...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor