DIRA 2050
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA), World Waternet na Shirika la Kilimo Endelevu (SAT) imefanya kikao kazi cha kutathmini utekelezaji wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Uhifadhi wa Bwawa la Mindu. Kikao hicho kimelenga kupitia maendeleo yaliyofikiwa, kutambua mafanikio yaliyopatikana pamoja na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa mradi katika eneo la mf...

Soma Zaidi

Bodi ya Maji ya Bonde la Wami/Ruvu imepokea ugeni kutoka kampuni ya OTESHA kwa ajili ya kuwasilisha na kujadili mradi wao wa maendeleo unaolenga kuimarisha matumizi ya teknolojia, uhifadhi wa mazingira na usimamizi endelevu wa rasilimali za maji. Katika kikao hicho, OTESHA iliwasilisha wazo la mradi unaohusisha matumizi ya teknolojia katika kuhamasisha jamii kuhusu uhifadhi wa mazingira, utunzaji wa vyanzo vya maji pamoja na urejeshwaji...

Soma Zaidi

Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Prof. Riziki S. Shemdoe, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, akimwakilisha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses M. Kusiluka, akiambatana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Mwajuma Waziri pamoja na viongozi wengine, walitembelea banda la Wizara ya Maji na taasisi zake katika viwanja vya Chinangali Park jijini Dodoma na kujionea shughuli mbalimbali zina...

Soma Zaidi

  Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya maji pamoja na serikali za kata na vijiji vinavyopakana na Mto Ruvu katika wilaya za Kibaha na Bagamoyo imeendesha zoezi la kuunda Jumuiya za Watumia Maji Ruvu Chini kwa lengo la kuimarisha usimamizi shirikishi na endelevu wa rasilimali za maji. Zoezi hilo limehusisha makundi mbalimbali ya watumia maji ikiwemo viwanda kupitia Chama cha Viwanda (KEDA), vya...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor