emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Bodi ya Maji ya Bonde la Wami/Ruvu inaendelea na Maadhimisho ya Wiki ya Maji kwa kaulimbiu ya “Maji na Jinsia”, kwa kutekeleza shughuli mbalimbali zinazolenga utunzaji na uhifadhi wa rasilimali za maji katika Manispaa ya Morogoro. Katika Kuadhimisha Wiki Maji Bodi Imejikita katika Utoaji wa Huduma Maalum kwa Wananchi ikiwemo Upimaji wa Ubora wa Maji ya Visima, Utoaji wa Ushauri wa Kitaalamu kuhusu Matumizi sahihi ya Maji pamoja na...

Soma Zaidi

WRBWB imepanda miti 500 rafiki kwa maji pamoja na miti ya matunda katika eneo la Mto Msimbazi uliopo Mtaa wa Mogo, Kata ya Kipawa, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea Wiki ya Maji. Zoezi limeongozwa na Mgeni Rasmi Mheshimiwa John Mrema, Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kinyerezi. Viongozi wengine walioshiriki ni pamoja na Mwenyekiti wa WRBWB Nickson Lutenda,...

Soma Zaidi

WRBWB imeandaa na kuwasilisha utabiri wa wingi wa maji katika Mto Ruvu kwa kuzingatia vituo vilivopo katika idakio kwa kipindi cha kuanzia tarehe 12 hadi 22 Machi 2026 ambapo utabiri huu unalenga kuwezesha wadau wa Mto Ruvu katika sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Ujenzi, Viwanda, Utalii na Mamlaka za Maji Safi na Usafi wa Mazingira kufahamu mwenendo wa wingi wa maji katika mto huo.   Utabiri huu umezingatia hali ya mvua na...

Soma Zaidi

Kuelekea katika maadhimisho ya Wiki ya Maji 2026, Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imeendelea na zoezi la utoaji wa elimu kwa jamii kupitia vyombo mbalimbali vya habari ambapo kwa siku ya leo tumepata fursa ya kushiriki moja kwa moja katika kipindi cha Baragumu kinachoruka kupitia Chanel Ten pamoja na Kipindi cha Redio kupitia Magic Fm Akizungumza katika Kipindi hicho, Mwenyekiti wa Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu Bw. Nickson Lutenda amee...

Soma Zaidi

Taarifa ya utabiri wa mafuriko inaonesha kuna uwezekano wa ongezeko la Wastani na Juu ya wastani; la wingi wa maji katika baadhi ya mito ambalo linaweza kupelekea mafuriko katika kipindi cha kuanzia tarehe 11 Mach hadi 16 Mach, 2026, Aidha Kwa mujibu wa utabiri umebainisha baadhi ya maeneo yanayotarajiwa kukumbwa na mafuriko ambayo ni Kijiji cha Kibaoni, Malui, Tindiga, Magomeni-Kilosa, Kisala na Kijiji cha Kilimanjaro, Miyombo na Baadhi ya...

Soma Zaidi
Mpangilio