ZOEZI LA UPIMAJI WA UBORA WA MAJI YA VISIMA BILA MALIPO LAENDELEA MOROGORO.

Bodi ya Maji ya Bonde la Wami/Ruvu inaendelea na Maadhimisho ya Wiki ya Maji kwa kaulimbiu ya “Maji na Jinsia”, kwa kutekeleza shughuli mbalimbali zinazolenga utunzaji na uhifadhi wa rasilimali za maji katika Manispaa ya Morogoro. Katika Kuadhimisha Wiki Maji Bodi Imejikita katika Utoaji wa Huduma Maalum kwa Wananchi ikiwemo Upimaji wa Ubora wa Maji ya Visima, Utoaji wa Ushauri wa Kitaalamu kuhusu Matumizi sahihi ya Maji pamoja na...







