WAMI/RUVU YASHIRIKI MKUTANO WA 7 WA JUKWAA LA TAIFA LA WADAU WA SEKTA MTAMBUKA KATIKA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA MAJI.

WRBWB imeshiriki katika Mkutano wa Saba wa Jukwaa la Taifa la Wadau wa Sekta Mtambuka katika Usimamizi wa Rasilimali za Maji (07th National Multisectoral Forum on Water Resources) lililofanyika mkoani Dodoma kwa lengo la kujadili masuala ya kimkakati yanayohusu usalama wa maji nchini. Mkutano huu umejadili sera,mikakati na teknolojia bunifu zitakazosaidia kuimarisha usalama wa maji kama nguzo muhimu ya ustawi wa...







