DIRA 2050
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu leo tarehe 18 juni 2026 imepokea ugeni kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Nje uliowasili kwa lengo la kujifunza na kupata uelewa kuhusu shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Wami/Ruvu katika usimamizi na uhifadhi wa rasilimali za maji. Katika ziara hiyo wageni wamepata fursa ya kutembelea maeneo mbalimbali ya kimkakati yanayosimamiwa na Wami/Ruvu ili kujionea utekelezaji wa shughuli zake pamoja na mchango wa...

Soma Zaidi

  Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imeandaa na kuwasilisha utabiri wa wingi wa maji katika Mto Ruvu kwa kuzingatia vituo vilivopo katika Kidakio cha Ruvukwa kipindi cha kuanzia tarehe 17 hadi 27 Juni, 2026. Utabiri huu unalenga kuwezesha wadau wa Mto Ruvu katika sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Ujenzi, Viwanda, Utalii na Mamlaka za Maji Safi na Usafi wa Mazingira kufahamumwenendo wa wingi wa maji katika mto huo waweze kujua...

Soma Zaidi

Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 umezindua Mradi wa uhifadhi wa chanzo cha Ruvu kupitia Ujenzi wa Miundombinu ya Usambazaji Maji katika Vijiji vya Mngazi na Dakawa, uliotekelezwa na kusimamiwa na Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa lengo la kutimiza azma ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuwapatia wananchi huduma bora ya maji safi na salama vijijini. Mradi huu umehusisha uchimbaji wa visima viwili vyenye uwezo wa kuzalisha maji kati ya lita 24...

Soma Zaidi

Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imewaonya wananchi na taasisi zinazochimba visima bila kufuata taratibu za kisheria kuwa zinakabiliwa na faini isiyopungua Shilingi milioni saba au kufikishwa mahakamani kwa mujibu wa sheria za usimamizi wa rasilimali za maji.   Onyo hilo limetolewa na Afisa Mazingira Bw. Rajabu Mwinyialipo wakati wa kikao cha utoaji elimu kwa watumia maji kilichofanyika Tarafa ya Hombolo, Wilaya ya Dodoma, kikihus...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor