MARUFUKU SHUGHULI ZA KIBINADAMU NDANI YA HIFADHI YA MAKUTUPORA.

Wataalamu wa WRBWB, Kidakio cha Kinyasungwe kwa kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) wamefanya kikao na wananchi wanaozunguka eneo la hifadhi ya maji chini ya ardhi la Makutupora kwa lengo la kujadili namna bora ya kuishi bila kuharibu mazingira na kuathiri ubora wa maji katika chanzo hicho. Miongoni mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na usitishwaji wa shughuli zote za kibinadamu ndani ya hifadhi ya maji ikiwa...







