WATAALAMU KUTOKA OFISI YA MKAGUZI MKUU WA NJE WATEMBELEA WAMI/RUVU KUJIFUNZA SHUGHULI ZA USIMAMIZI WA RASILIMALI ZA MAJI.

Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu leo tarehe 18 juni 2026 imepokea ugeni kutoka Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Nje uliowasili kwa lengo la kujifunza na kupata uelewa kuhusu shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na Wami/Ruvu katika usimamizi na uhifadhi wa rasilimali za maji. Katika ziara hiyo wageni wamepata fursa ya kutembelea maeneo mbalimbali ya kimkakati yanayosimamiwa na Wami/Ruvu ili kujionea utekelezaji wa shughuli zake pamoja na mchango wa...








