WRBWB Yazindua Zoezi la Kupima & Kutibu Visima bila Malipo.

Kuelekea Maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani, WRBWB leo Machi 10, 2026 imezindua rasmi zoezi la Upimaji na Kutibu Ubora wa Maji ya Visima bila malipo kwa Wananchi wa Manispaa ya Morogoro pamoja na maeneo yote yaliyo ndani ya mipaka ya Usimamizi wa Bonde la Wami/Ruvu. Uzinduzi wa zoezi hili Umefanywa na Mhe. Musa Kilakala Mkuu wa Wilaya ya Morogoro katika Hafla iliyohudhuriwa na Waheshimiwa Madiwani 39, Watendaji wa Kata 29, Kamati ya Sia...







