Spika Zungu Aridhishwa na Kasi ya Uchimbaji wa Visima Vinavyosimamiwa na WRBWB.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu ametembelea na kukagua mradi wa uchimbaji wa visima unaendelea katika Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam. Mhe. Zungu amefanya ziara hiyo katika mtaa wa Mchikichini, kata ya Ilala na kujionea ukamilikaji wa zoezi hilo ambapo ameridhishwa na uchimbaji wa visima hivyo huku akiagiza kukamilika haraka wananchi wa maeneo hayo waweze kup...







