DIRA 2050
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Bodi ya Maji ya Bonde la Wami/Ruvu imeendesha mafunzo maalum ya Mfumo wa Usimamizi wa Ubora (Quality Management System – QMS) yenye lengo la kuimarisha uwezo wa watumishi na kuwaandaa Wakaguzi wa Ndani kuelekea kupata ithibati (accreditation) ya kimataifa. Mafunzo hayo yamehusisha nadharia na ukaguzi kwa vitendo (practical auditing) ambapo washiriki wamepata fursa ya kufanya tathmini ya mifumo na taratibu za utendaji kazi ndani ya...

Soma Zaidi

Wataalamu wa Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu wamefanya tathmini ya kitaalamu katika visima vitatu vya maji vilivyopo ndani ya eneo la Bunge la Tanzania, jijini Dodoma, kwa lengo la kubaini hali ya visima na kuhakikisha vinaendelea kutoa huduma kwa ufanisi na usalama. Katika zoezi hilo, wataalamu hao walipima kina cha maji (water depth) katika visima hivyo vitatu ili kufahamu kiwango cha maji kilichopo, walifanya uchunguzi wa ubora wa maj...

Soma Zaidi

Wami/Ruvu imeandaa na kuwasilisha utabiri wa hali ya wingi wa maji katika Mto Ruvu kwa kipindi cha Mwezi Juni hadi Agosti, 2026 ili wadau wa Mto Ruvu katika sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Ujenzi, Viwanda, Utalii na Mamlaka za Maji Safi na Usafi wa Mazingira waweze kujua hali ya mwenendo wa wingi wa maji.   Aidha utabiri huu umezingatia utabiri wa hali ya mvua na Joto kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kipindi c...

Soma Zaidi

Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa amezitaka mamlaka husika kuchukua hatua madhubuti kudhibiti uchimbaji holela wa mchanga na kuimarisha uhifadhi wa mazingira hususan katika vyanzo vya maji na maeneo ya pembezoni mwa mito. Mhe. Kwagilwa ametoa kauli hiyo leo jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake katika Mto Msimbazi, iliyolenga kukagua maeneo yaliyoathiriwa na mvua pamoja na kubaini ch...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor