emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu ametembelea na kukagua mradi wa uchimbaji wa visima unaendelea katika Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam.  Mhe. Zungu amefanya ziara hiyo katika mtaa wa Mchikichini, kata ya Ilala na kujionea ukamilikaji wa zoezi hilo ambapo ameridhishwa na uchimbaji wa visima hivyo huku akiagiza kukamilika haraka wananchi wa maeneo hayo waweze kup...

Soma Zaidi

WRBWB imeandaa na kuwasilisha utabiri wa wingi wa maji katika Mto Ruvu kwa kuzingatia vituo vilivopo katika Kidakio kwa kipindi cha kuanzia tarehe 12 hadi 22 Februari, 2026 ambapo utabiri huu umezingatia utabiri wa hali ya mvua na joto zilizotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). Utabiri unaonyesha wingi wa maji utaongezeka na kuwa juu ya wastani wa muda mrefu (2009-2024) kuanzia tarehe 21 Feb,2026 kutokana na uwezekano wa k...

Soma Zaidi

    

Soma Zaidi

Waziri wa Maji Mhe. Juma Aweso amezitaka taasisi zote zilizo chini ya Wizara ya Maji kutumia ipasavyo rasilimali za maji zilizopo nchini ili kuhakikisha huduma ya maji safi na salama inawafikia wananchi katika kila kijiji kwa lengo la kutimiza maelekezo na dira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Waziri Aweso ametoa wito huo leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi ya kumkaribisha Naibu Katibu M...

Soma Zaidi

Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM )Mkoa wa Morogoro imefanya ziara maalumu ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika Sekta ya Maji ambapo wamekagua vyanzo vya maji na miundombinu ya uzalishaji na usambazaji wa maji Mkoani Morogoro. Akizungumza Katika Ziara hiyo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Bw. Joseph Masunga ameridhishwa na hali ya upatikanaji wa huduma ya majisafi na s...

Soma Zaidi
Mpangilio