DIRA 2050
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

  Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani mwaka 2026 kimefanyika leo katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center jijini Dodoma, yakiwakutanisha viongozi wa serikali, wadau wa mazingira, taasisi mbalimbali na wananchi kwa lengo la kuhamasisha uhifadhi na usimamizi endelevu wa mazingira.   Maadhimisho hayo yamekuwa fursa ya kuonesha mafanikio yaliyopatikana katika kulinda mazingira, kujadili changamoto zi...

Soma Zaidi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameagiza Wizara ya Maji kuhakikisha miradi yote ya maji nchini inatekelezwa kwa kuzingatia uhifadhi na ulinzi wa ardhi oevu ili kulinda mazingira na vyanzo vya maji. Dkt. Nchimbi ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani yaliyofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre (JKCC)....

Soma Zaidi

Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani 2026 Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero imefanikiwa kutekeleza shughuli mbalimbali za uhifadhi wa mazingira katika Wilaya ya Mvomero. Miongoni mwa shughuli zilizofanyika ni utoaji wa elimu ya mazingira kwa wanafunzi na wananchi pamoja na upandaji wa miti katika Shule ya Sekondari Nasoro, Vilevile wadau hao wameshiriki kat...

Soma Zaidi

Katika kuadhimisha Siku ya Kilele cha Mazingira Duniani Kidakio cha Ngerengere pamoja na wadau mbalimbali wa mazingira wamefanya shughuli ya usafi katika Mto Morogoro eneo la Daraja la Kichangani mkoani Morogoro.   Mbali na kufanya usafi wa mazingira pia imetolewa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza mazingira kudhibiti utupaji holela wa taka na kulinda vyanzo vya maji ili kuhakikisha mazingira yanabaki safi na salama kwa...

Soma Zaidi

  Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Mhandisi Mathew Kundo (Mb), amepongeza watumishi wa sekta ya maji kwa kazi kubwa wanayoendelea kuifanya katika usimamizi wa rasilimali za maji na utekelezaji wa miradi ya maji nchini. Mhe. Kundo ametoa pongezi hizo alipotembelea banda la Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu katika Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani yanayoendelea katika Viwanja vya JK Convention Centre jijini Dodoma. Akizun...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor