DIRA 2050
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Kuelekea Katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani, Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu na wadau mbalimbali wakiwemo waosha magari wamafanya usafi katika Mto Morogoro pamoja na kutoa elimu ya mazingira kwa jamii na wanafunzi wa shule mbalimbali, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kulinda vyanzo vya maji na mazingira kwa ujumla. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Mhandisi Mazingira Abdallah Mshana, ametoa wito kwa wananchi kuacha kufanya shugh...

Soma Zaidi

  Wananchi wametakiwa kuendelea kutunza mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na ukame unaojitokeza katika maeneo mbalimbali nchini. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani, ambapo amesisitiza kuwa kila mwananchi ana jukumu la kulinda na kuhifadhi mazingira kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Mtambule amesema ku...

Soma Zaidi

Katika kuidhimidha Wiki ya Mazingira Duniani, Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa kushirikiana na viongozi wa serikali ya mtaa Kimere, wadau wa Mazingira, kampuni na vikundi vya usafishaji wa mito wamepanda miti 500 rafiki kwa mazingira na vyanzo vya maji ikiwemo mjakaranda, michikichi na miembe katika hifadhi ya Mto Mpiji, Kitongoji cha Kimere, Kata ya Mapinga, Wilaya ya Bagamoyo Lengo la zoezi hili ni kuimarisha uhifadhi wa vyanzo vya...

Soma Zaidi

  Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Switbert Zacharia Mkama, leo ametembelea banda la Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu katika Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira Duniani 2026 yanayoendelea katika Viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma. Dkt. Mkama amepokea taarifa kuhusu majukumu ya Bodi katika usimamizi na uhifadhi wa rasilimali za maji, pamoja na juhudi zinazoendelea kufanyika kuli...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor