Taarifa ya utabiri wa mafuriko kuanzia tarehe 28 Machi hadi 06 Aprili 2026.

Taarifa ya utabiri wa mafuriko inaonesha Kuna uwezekano wa ongezeko la wastani na Juu ya wastani la wingi wa maji katika baadhi ya mito ambalo linaweza kupelekea mafuriko katika kipindi cha kuanzia tarehe 28 Machi hadi 06 Aprili 2026. Aidha Kwa mujibu wa utabiri umebainisha baadhi ya maeneo yanayotarajiwa kukumbwa na mafuriko ambay hi Kijji cha Ving’awe, Zombo Tindiga, Daraja la Mkundi, Mkata,Miyombo, Munisigara, Masanze,...







