DIRA 2050
emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

  Bodi ya Maji ya Bonde la Wami/Ruvu kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro imekamilisha zoezi la uchaguzi wa wajumbe wapya wa Jumuiya ya Watumia Maji Mgeta Chini (WUA) pamoja na kuanza mafunzo ya kuwajengea uwezo viongozi hao ili kuboresha usimamizi na uhifadhi wa rasilimali za maji. Uteuzi wa wajumbe umefanyika kupitia Mabaraza ya Maendeleo ya Kata za Bwakila Chini, Mngazi na Kisaki, zinazojumuisha vijiji vya...

Soma Zaidi

Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imeendelea kuimarisha usimamizi na uhifadhi wa rasilimali za maji kwa kufanya tathmini na ukaguzi wa mito mbalimbali katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha matumizi endelevu ya rasilimali za maji na ulinzi wa mazingira. Tathmini hiyo imekuja kufuatia ongezeko la mashapo yanayosababishwa na uharibifu wa vyanzo vya maji, uchimbaji holela wa mchanga, utupaji wa taka, kilimo kis...

Soma Zaidi

  Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imekamilisha uchimbaji wa kisima chenye kina cha zaidi ya mita 120 katika eneo la Kijichi Mtoni, jijini Dar es Salaam, hatua inayotarajiwa kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji kwa wakazi wa Kata ya Kijichi na maeneo ya jirani. Kwa sasa kisima hicho kinaendelea na hatua ya usafishaji wa kisima (flushing), ambayo ni sehemu ya maandalizi ya mwisho kabla ya kuanza kutumika rasmi. Zoezi hilo li...

Soma Zaidi

Leo tarehe 8 Julai 2026 Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imefanya mahojiano maalum kupitia kituo cha redio MUM FM cha Morogoro ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu usimamizi endelevu wa rasilimali za maji na uhifadhi wa mazingira.   Katika mahojiano hayo, wataalamu wa Bodi wamesisitiza umuhimu wa kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji pamoja na mazingira yanayovichangia ili kuhakikisha upatikanaji wa...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor