Wami/Ruvu Yapanda Miti Kando ya Mto Msimbazi Kuelekea Wiki ya Maji 2026.

WRBWB imepanda miti 500 rafiki kwa maji pamoja na miti ya matunda katika eneo la Mto Msimbazi uliopo Mtaa wa Mogo, Kata ya Kipawa, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuelekea Wiki ya Maji. Zoezi limeongozwa na Mgeni Rasmi Mheshimiwa John Mrema, Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Kinyerezi. Viongozi wengine walioshiriki ni pamoja na Mwenyekiti wa WRBWB Nickson Lutenda,...








