emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji
Bodi ya Maji Bonde la Wami/RUVU
ega Logo
Habari
ega-svg-tree

Wami/Ruvu imeandaa na kuwasilisha utabiri wa wingi wa maji katika Mto Ruvu kwa kuzingatia vituo vilivopo katika Kidakio kwa kipindi cha kuanzia tarehe 29 Mei hadi 07 Juni, 2026.   Utabiri huu unalenga kuwezesha wadau wa Mto Ruvu katika sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Ujenzi, Viwanda, Utalii na Mamlaka za Maji Safi na Usafi wa Mazingira kufahamu mwenendo wa wingi wa maji katika Mto Ruvu waweze kujua hali ya mwenendo wa wingi wa...

Soma Zaidi

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mussa Kilakala amewataka wamiliki wa viwanda mkoani Morogoro kuhakikisha wanalinda afya za wakazi wa mkoa huo kwa kuzingatia ubora wa majitaka yanayotiririka kutoka viwandani pamoja na kurekebisha miundombinu chakavu katika viwanda vyao.   Akizungumza wakati wa ufunguzi wa warsha iliyolenga kujadili usimamizi bora wa majitaka ya viwandani Kilakala amesema lengo la warsha hiyo ni kuimarisha uzingatiaji w...

Soma Zaidi

Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu kwa kushirikiana na Shirika la Reli Tanzania (TRC) pamoja na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NiRC) imepokea ujumbe wa tathmini kutoka Benki ya Dunia (World Bank) uliolenga kukagua utekelezaji wa Mradi wa Kimkakati wa Kuhimili Mafuriko (Flood Resilience Project). Mradi huo unalenga kujenga mabwawa sita (6) pamoja na kuimarisha mifumo ya tahadhari ya mapema kwa ajili ya kudhibiti mafuriko na kulinda ushoroba w...

Soma Zaidi

Wami/Ruvu kwa Kushirikiana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Morogoro MORUWASA wameshiriki mafunzo ya ukusanyaji wa taarifa (Data Collection) kwa kutumia mfumo wa KoboToolbox yaliyotolewa na mtaalamu kutoka World Waternet leo tarehe 25 Mei 2026.   Mafunzo hayo yamelenga kuongeza ufanisi katika ukusanyaji, uhifadhi na usimamizi wa taarifa kwa njia ya kidijitali huku yakitoa uelewa wa matumizi sahihi ya mfumo wa Kobo kat...

Soma Zaidi

Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imefanikiwa kukamilisha uchimbaji wa kisima cha maji chenye zaidi ya mita 30 katika Ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, hatua inayolenga kuhakikisha upatikanaji wa maji ya uhakika. Kisima hicho kina uwezo wa kuzalisha zaidi ya lita za ujazo elfu 20 kwa saa, kiwango ambacho kinatajwa kuwa cha kutosha kuhudumia mahitaji ya maji katika ofisi zote za wizara hiyo pamoja na taasi...

Soma Zaidi
Mpangilio

slot gacor