Ndugu mdau wa rasilimali za maji, unakaribishwa sana kwenye tovuti ya ‘Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu’. Tovuti hii Soma Zaidi
— Mkurugenzi
WAMI/RUVU YATUNUKIWA TUZO MBILI ZA UTENDAJI KAZI BORA MIONGONI MWA MABONDE 9 YA MAJI NCHINI.
Waziri wa Maji, Mh. Jumaa Aweso akishirikiana na viongozi wa Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu kusafisha mto ili kuruhusu maji kupita kwa urahisi ili kuingia kwenye mto Ruvu na kupunguza mgao wa maji kwa wakazi wa Pwani na Dar es Salaam
Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda umefikia asilimia 40 ya utekelezaji na unatarajiwa kukamilika mwisho wa mwaka 2026.
Makamu wa Rais wa JMT Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi apanda mti kwenye hafla ya kilele cha cha Wiki ya Maji 2026, eneo la Bwawa la Mindu mkoani Morogoro.
Mhe. Dkt Mwigulu Nchemba akagua Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda.